Saturday, May 12, 2012

 Wahitimu wa mafunzo ya awali ya udereva wa kata ya Kyebitembe na Karambi wakisoma risara kwa mgeni rasimi hayupo pichani mafunzo hayo yalitolewa na Chuo cha udereva cha Lake Zone Driving School
 Wahitimu wa mafuzo ya awali ya udereva kutoka kata ya Nshamba wakisoma risara
Moja wa askari wa Kikosi cha usalama barabarani mkoani Kagera PC Joseph akiwaapisha wahitimu wa mafunzo ya awali ya udereva yaliyofungwa katika wilaya ya Muleba Mkoani Kagera

No comments:

Post a Comment