Tuesday, May 29, 2012

Jk Ampokea Rais Wa Ivory Coast Jana


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpokea Rais Allasane Ouattara uwanja wa ndege wa Kimataifa wa  Kilimanjaro jijini Arusha leo, akiwa ni mmoja wa wageni mashuhuri kuhudhuria mkutano wa afDB. Picha na IKULU

No comments:

Post a Comment