Thursday, May 31, 2012

Kardinari Rugambwa Kupumzishwa Kwa Amani October 2012

 Mwanaharakati wa masuala ya maendeleo ya mkoa wa Kagera Askofu Methodius Kilaini.
 Kanisa kuu la jimbo katoriki la Bukoba ambalo mwili wa Marehemu Kardinari Rugambwa utazikwa mwaka huu, liko katika manispaa ya Bukoba na sasa linafanyiwa ukarabati mkubwa

Picha ya kardinali Laulean Rugambwa enzi za uhai wake.

No comments:

Post a Comment