Monday, May 7, 2012

SIKU YA VYOMBO VYA HABARI KAGERA

 Anaitwa Bi Renatha Kipaka akitoa msaada kwa mmoja wa wagonjwa katika Hospitari ya watoto katika Hospitari ya mkoa wa Kagera,Waandishi wa habari walitembelea hospitari hiyo na kutoa misaada mbalimbali.
 Baada ya hapo iliandaliwa pati hapani mkuu wa mkoa wa Kagera kanali msataafu Fabiani Masawe akihutubia wageni waalikwa wakiwemo waandishi wa habari
 Majembe wakimsikiliza mkuu wa mkoa wa Kagera huku wakila mvinyo
Baadhi ya wageni walipata fursa ya kuongea machache juu ya Madia Day

No comments:

Post a Comment