Tuesday, May 29, 2012

Ofisa Wa Benki Ya Posta Nchini Aongea Na Wafanya Biashara Bukoba


Ofisa mkuu wa benki ya posta nchini,Sabasaba Moshinga akiongea na baadhi ya wafanyabiashara wa mkoa wa Kagera.


Ofisa mkuu mtendaji wa benki ya posta CEO, Sabasaba Moshingo akiongea na wafanyabiashara wa mkoa wa Kagera.

 Meneja wa shirika la posta wa mkoa wa Kagera kulia alikuwa ni miongoni mwa walioudhuria kikao cha CEO wa benki ya posta nchini.
 Baadhi ya wafanyabiashara wa mkoa wa kagera.
 Moshingo katika picha ya pamoja na baadhi ya watendaji wa TRA na benki ya posta.
Leonard Shija meneja wa mmoa wa Kagera wa mamlaka ya mapato (TRA)akimpokea ofisa mkuu mtendaji wa benki ya posta nchini Sabasaba Mashingo alipofika ofisini kwake, alisifu mahusiano yaliyopo kati nya TRA na benki ya Posta.PICHA NA AUDAX MTIGANZI

No comments:

Post a Comment