Saturday, May 12, 2012

Chuo Cha Mafunzo Ya Udereva Lake Zone Driving School Chanufaisha Wakazi Wa Mkoa Wa Kagera

 Kaimu Kamanda Wa polisi mkoani Kagera Vitus Mlolere akifunga mafunza ya awali ya waendesha Pikipiki na Magari katika kata ya Kyebitembe na Karambi ambayo yalieneshwa na Chuo cha Lake Zone Driving School cha Mkoani Kagera.
 Hapa anafunga mafunzo mengine katika kata ya Nshamba iliyoko wilayani Muleba Mkoani Kagera ambapo jumla ya wahitimu arobaini walipatiwa mafunzo hayo kutoka Lake zone
 Mkurugenzi wa Chuo Cha Lake Zone Driving School Winstoni Kabantega akitoa ufafanuzi juu ya mafunzo waliyoyapata wahitimu wa kata za Kyebitembe na Karambi
Kabantega akitoa ufafanuzi tena katika kufunga mafunzo ya kata Nshamba wilayani Muleba

2 comments:

  1. Hello.? I'm called Sam from Rwanda. When will you open again? And what qualities do you consider? Can a foreigner benefits your education?

    ReplyDelete