Saturday, May 26, 2012

Nape Atinga Bukoba na Missenyi

 Nape akizungumza na viongozi katika Ofisi ya CCM mkoa wa Kagera
 Nape akiwa katika picha ya pamoja na viongozi na baadhi ya ujumbe aliofuatana nao kwenye uwanja wa gofu
Vijana waliopo kati ya Baraza la Vijana, Missenyi, wakimsikiliza Nape

No comments:

Post a Comment