Monday, May 7, 2012

Rais Jakaya kikwete Awaapisha Mawaziri Jana

  Dk. Harrison Mwakyembe akila kiapo kuwa waziri wa Uchukuzi mbele ya Rais Jakaya Kikwete kwenye viwanja vya Iku asubuhi hii.
 Shamsi Vuai Nahodha akila kiapo kuwa waziri wa Ulinzi mbele ya Rais Jakaya Kikwete.
 Dk Husein Mwinyi akila kiapo kuwa Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii mbele ya Rais Jakaya Kikwete
Mh. Mathias Chikawe waziri wa Sheria na Katiba.

No comments:

Post a Comment