Friday, March 23, 2012

Waziri Mponda Azungumza Siku ya Kifua Kikuu Duniani

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Hadji Hussein Mponda Kushoto akiongea na Waandishi wa Habari kuhusu kuadhimisha siku ya Kifua Kikuu Kitaifa, ambapo sherehe zitafanyika Wilaya ya Masasi Mkoani Mtwara hivi karibuni kwenye ukumbi wa wizara ya Afya Jijini Dar es Salaam leo.

No comments:

Post a Comment