Tuesday, March 6, 2012

KARIBU KARAGWE TUNALIMA NDIZI KUBWAAAAAA

Hizi ni ndizi ambazo zinalimwa katika mkoa wa Kagera lakini hii inapatikana katika shamba moja la mkulima hodari ambye ni mkuu wa mkoa wa Kagera kanali Mstaafu Fabiani Massawe liko katika kijiji cha Kayanga wilayani Karagwe mkoani hapa

No comments:

Post a Comment