Friday, March 16, 2012

MAGARI YAKIWA YANATAKA KUVUKA

Msongamano wa magari makubwa umezidi kuwepo katika eneo la mpaka wa Tanzania na Uganda hasa magari makubwa ya mizigo tatizo hili linatokana na kusuasua kwa mtandao wa mamlaka ya mapato Tanzania(TRA)katika eneo la Mtukula

No comments:

Post a Comment