Thursday, March 22, 2012

Rais Karibu Mkoani Iringa

Rais Jakaya Kikwete akiongozana na Mkuu wa mkoa wa Iringa Dk. Christine Ishengoma kushoto mara baada ya kuwasili mjini Iringa , kulia ni Naibu Waziri wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji Grayson Rwenge.

No comments:

Post a Comment