Tuesday, March 6, 2012

Nakagua Shamba Langu Kanali Masawe

Mkuu wa mkoa wa Kagera kanali mstaafu Fabiani Massawe wa kwanza kulia akiangalia moja ya ndizi ambayo inapatikana katika shamba lake ambalo lina migomba yakutosha lililopo Kayanga wilayani Karagwe m,koani hapa

Shamba hilo alilianzisha wakati alipokuwa wilayani hapo akiwa ni mkuu wa wilaya hiyo lakini kwa sasa kanali Massawe ni mkuu wa mkoa wa Kagera, kilimo kwanza Baaaaana

No comments:

Post a Comment