Thursday, March 8, 2012

SIKU YA WANAWAKE DUNIANI NI LEO


Wakati wanawake wanasherehekea siku yao Duniani hawa ni wanawake ambao hawatambui kuwa kuna siku ya wanawake,Wanawake hawa kama walivyokutwa na mpiga picha wakiwa wanachambua kahawa leo mapema katika kiwanda cha kusaga kahawa cha AMIR HAMZA mjini Bukoba

No comments:

Post a Comment