Friday, March 30, 2012

Rais Kikwete Atoa tuzo Kwa wanahabari

Rais Jakaya Kikwete akiongea na Fili Karashani Mwandishi mkongwe naambaye ameshinda  tuzo ya Maisha ya Mafanikio katika Tasnia ya Habari mwaka 2011, katika tuzo za (EJAT) zilizoandaliwa na Baraza la Habari Nchini Tanzania (MCT) na washirika wake, hafla hiyo inafanyika kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jana usiku , katika picha kushoto ni Mwandishi wa siku nyingi Khamis Ben Kiko.

No comments:

Post a Comment