Friday, March 23, 2012

Tido Mhando Bosi Mpya Mwananchi

BODI ya Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), imemteua Mwandishi wa Habari Mkongwe barani Afrika, Tido Mhando kuwa Mkurugenzi mpya wa kampuni hiyo kuanzia jana.

No comments:

Post a Comment