Friday, March 16, 2012

BAADA YA KAZI NI MAPUMZIKO KITAKACHOFUATA NI KWENDA HOME

Wamiliki wa  mitandao ya kijamii mjini Bukoba wakiwa na wadau wengine wakiwa wametuliiia baada ya kazi za siku nzima lakini hiki kijiwe kinapatikana katika ofisi za Bohari kuu ya Mkoa wa Kagera mjini BUKOBAAA(Kutoka Kushoto ni Mathias Byabato Mmiliki wa Bukoba Forum,Ivani Ndyamukama Mdau wa mitandao,Ustaadhi alieangalia nyuma nae ni mdau wa mitandao na Kibuka Prudence mmiliki wa Bukoba Family kwa nyumaaa Dada Angela Batuli

No comments:

Post a Comment