Friday, March 30, 2012

Lowasa Atikisa Arumeru Jana

Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowasa akihutubia kwenye Mkutano wa Kampeni za CCM Jimbo la Arumeru Mashariki jana kwenye viwanja vya Kikatiti,Wilayani Arumeru.

No comments:

Post a Comment