Thursday, April 26, 2012

Wazo Langu Kwa Leo

Baadhi Ya warembo Wa Tanzania wakiwa Katika Vazi La Kanga Moja Imependeza Saaaaaana
PICHA KWA HISANI YA MJENGWA BLOG

Hivi kama mugu angeliumba wanaume peke yao ingekuwaje? wanaume wangetembea Uchi kwakuwa hakuna jinsia nyingine?Je kungekuwa na umuhimu wakujituma na kufanya kazi?Je watu ambao mungu angewaumba wasingeongezeka kutokana na kutokuwepo akina Mama ambao ndio wanauwezo wa kuzaa/ au mungu angewapa wanaume uwezo wa Kuzaa?

KWAKWELI AKINA MAMA NI MUHIMU SAAAANA

No comments:

Post a Comment