Sunday, April 22, 2012

RTO Kagera na watumishi Wa Lake Zone Driving School

 Walimu wa Chuo cha udereva akiwemo mkurugenzi wa chuo hicho Winstoni Kabantega akiwa katika picha ya pamoja na mkuu wa kikosi cha usalama barabarani mkoani kagera Malisoni Mwakyoma na baadhi ya askari wa usalama barabarani
 Mkurugenzi wa Lake Zone driving School Winstoni Kabantega akiwa na baadhi ya walimu wa chuo hicho akiwapa maelekezo juu ya ufundishaji wa madereva hivi karibuni
PC Fadhili akiwa na Coplo Safari(mwenye sale ya Polisi) wakikagua moja ya gari ambalo linatumika kufundishia mafundi makenika wakiwemo madereva katika chuo cha Lake zone Driving School

No comments:

Post a Comment