Wednesday, April 18, 2012

Msitu Mnene Lakini Ni Hifadhi Ya Taifa Je Tunailinda?

Hapa ni Msitu wa pori la Kikulula Ranchi lililoko Katika wilaya ya Karagwe Mkoani Kagera na ni moja ya eneo ambalo linatumika kulishia mifugo aina mbalimbali zikiwemo N'GOMBE aina ya Kongwa BEEF Lakini kama kawaida ya Mtu mzima kutembelea maeneo kama haya.

No comments:

Post a Comment