Thursday, April 19, 2012

Wabunge Ambao Wanaanza Inawabidi kuwasikiliza Wakubwa

Waziri Mkuu Mizengo Pinda Akizungumza na mbunge Mpya wa Jimbo La Arumeru Mashariki Joshua Nassari(CHADEMA) kabla ya kuanza Kikao cha Bunge Leo Mjini Dodoma hapa kama walivyokutwa na Mpiga picha wetu katika viwanja vya Bunge

No comments:

Post a Comment