Wednesday, April 18, 2012

Hili Nalo Ni Daraja Wananchi Wanalitumia Kupita

Moja ya Daraja ambalo linaonekana halifai kwa matumizi ya wananchi hasa kupita na kuvuka kwani halina usalama wowote ule na halieleweki,hapa ni wilayani Karagwe mkoani Kagera katika kata ya Kihanga barabara ya kuelekea Kikulula ranchi.

No comments:

Post a Comment