Tuesday, August 28, 2012

Mgomo Wa Madereva Mjini Bukoba wazidi Kuwatesa Wasafiri

 Ndani ya stendi ya Bukoba hamna gari dogo hata moja
 Makundi ya watu wanaosemekana ni madereva wakiwa wanajadili juu ya mgomo huo,
 Baadhi ya watu wanaofanya biashara ndani ya stendi wakiwa wamekaa bila kazi kwani hamna abilia wa kuwauzia bidhaa zao.
 Ni kundi kubwa la madreva lilijitokeza kufanya maojiano na mwandishi wetu
 Dereva akitoa kile alichonacho moyoni (Bora kufa njaa kuliko kuwafanyia kazi wazabuni wa standi hii)
 Dereva akiongea kwa uchungu mkubwa  mara baada ya kupewa majibu ya kuumizwa na mzabuni wa standi  ya kuwa wanajiangisha bure hamna kitakachofanyika juu ya hilo watarudi tu (aalisema dreva mmoja)
Na Mwandishi Maalum Bukoba

MADERVA wa magari ya kusafirisha abilia mjini Bukoba wameitaka halmashauri ya manispaa hiyo kusikiliza matakwa yao ili waweze kusitisha mgomo wa kusafirisha abilia ambao ukiwa umedumu takilibani siku tatu
 :-
Wanashinikiza serikali kutimiza matakwa yao na kusema kuwa kiwango cha ela wanachotozwa kama ushuru wa standi ni kikubwa ukilinganisha na kiwango cha  standi haini vigezo maalum vya kuwa standi ya kulipia kiwango cha ushuru huo.


Inasemekana kuwa kwa siku gari moja aina ya haice,tax,pikipiki,mkokoteni  na hata gari binafsi linapoingia ndani ya stand  inaweza kulipa ushuru mpaka 4000/= kiasi ambacho ki kingi kwa maisha ya kaiwaida na ukilinganisha na athi ya standi yenyewe.

Walisema kuwa  wako tayari kufanya kazi na kukaa kwa mazungumzo na Mkurugenzi wa Manispaa ya Bukoba kama alivyodai kuwa atakutana nao siku ya tarehe 01/09/2012.


Waliongeza kuwa mpaka siku yenyewe ya tarehe 01/09/2012 watakuwa tayari kuendelea kufanya kazi kama ungozi wa manispaa watatoa hamri kuwa kwa siku hizo tatu magari yote yasilipe ushuru ndani ya stendi au yasingie ndani ya stendi ila yaendelee kutoa huduma mtaani kwa kudaka abiria.

No comments:

Post a Comment