Tuesday, August 28, 2012

Zoezi La Uwandikishaji Laendelea VIZURI Kaskazini "B"unguja.

Mkuu wa Wilaya ya Kaskazini "B" Hamis Jabir Makame akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusiana na Zoezi la Sensa linaloendelea katika Mikoa na Wilaya Nchini kote,ambapo katika Wilaya hio zoezi hilo linakwenda vizuri.
Karani wa Sensa akiwa katika kazi ya kuwaandika watu katika kitongoji cha Kiongwe Mkwambani Shehia ya Mafufuni Bumbwini ambapo  watu wa kijiji hicho awali waligoma kuandikisha kutokana na madai ya Elimu ya uwandikishaji kutokuwafikia vya kutosha.
                            
                                 
                                      PICHA NA YUSSUF SIMAI-MAELEZO ZANZIBAR.

No comments:

Post a Comment