Friday, June 1, 2012

Kanoni Ni Balaa Pamoja na jua Kuwaka





Ni jana majira ya saa nane mchana wakati ambapo juu lilikuwa kali sana kutokana na hali ya hewa ilivyoshinda jana ni vigumu kwa mtu amabaye alikuwa mbali na tukio kuamini hili ila ni kwamba kuanzia mda wa saan nane mpaka jioni wafanyabiashara waliopo maeneo ya mto kanoni walipatwa na mafuliko ya ghafura mara baada ya mto kanoni kuanza kumwaga maji yake nje ya mto huo.
Nikiongea na baadhi ya wafanyabihashara haowlisema tumeanza kuona maji yakiongezeka katika vibanda vyetu na baadae yakazidi kuwa mengi mpaka sasa tumefunga.
Vingozi wa manispaa ya mji wa Bukoba wana kila sababu ya kuwatafutia eneo la kufanyia bihashara tofauti na maeneo hayo ili kunusulu maisha na bihashara yao.

No comments:

Post a Comment