Friday, June 1, 2012

PINDA KATIKA KIKAO CHA SADC

Pinda Amwakilisha Jk Kikao Wa SADC

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikaribishwa kwa gwaride baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Luanda, Angola May 31, 2012 kumwakilisha Rais Jakaya Kikwete katika Kikao cha Wakuu wa Nchi za Jumuiya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika, SADC. Anaongozwa na Waziri wa  Nishati na Maji wa Angola  Joao Baptista Borges. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikaribishwa kwa gwaride baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Luanda, Angola May 31, 2012 kumwakilisha Rais Jakaya Kikwete katika Kikao cha Wakuu wa Nchi za Jumuiya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika, SADC. Anaongozwa na Waziri wa  Nishati na Maji wa Angola  Joao Baptista Borges. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza  na Waziri wa Nishati na Maji wa Angola, Joao  Baptista Borges baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Luanda nchini Angola May  31, 2012 ambako atamwakilisha Rais Jakaya Kikwete katika kikao cha  Wakuu wa Nchi za  Jumuiya  ya Maendeleo  ya Kusini mwa Afrika SADC Juni 1, 2012. (Picha na Ofisi  ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe baada ya kuwasili Luanda Angola May 31, 20121 ambako atamwakilisha Rais Jakaya Kikwenye katika Kikao cha Wakuu wa Nchi  za Jumuiya ya Maendeleo ya Afrika SADC Juni 1, 2012. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengio Pinda akisalimiana na Rais wa Angola Jose Edwardo dos  Santos katika kikao cha Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Maendeleoo ya Nchi za Kusini mwa Afrika SADC kilichofanyika  Juni 1, 2012 Mjini Luanda Angola . (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment