Wednesday, June 27, 2012

Vodacom Yahamasisha Wabunge Kutumia Malipo Ya Baada...!




Baadhi ya Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,wakifafanuliwa jambo na Meneja wa wateja wa Malipo ya baada wa Vodacom Tanzania Bi. Yvone Bayona,jinsi ya kujiunga na mpango wa malipo ya baada ya kampuni hiyo katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma. Vodacom inaendesha zoezi maalum la kuwahamasisha wabunge kujiunga na mpango wa mteja mmoja mmoja wa malipo ya baada katika juhudi za kujiimarisha kisoko.




Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Salvatory Machemli (Ukerewe - Chadema) na Danstan Mkapa (Nanyumbu - CCM) wakielezewa na Afisa wa Vodacom Tanzania Bi.Melinda Siarra,jinsi ya kujiunga na mpango wa malipo ya baada ya kampuni hiyo katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma. Vodacom inaendesha zoezi maalum la kuwahamasisha wabunge kujiunga na mpango wa mteja mmoja mmoja wa malipo ya baada katika juhudi za kujiimarisha kisoko.
 Kutoka Blog ya Michuzi: http://issamichuzi.blogspot.com

No comments:

Post a Comment