Thursday, September 27, 2012

Arusha Kwa Waka Moto Wafanyabiashara Wavamia Maeneo Kwa Nguvu



Na: Mahmoud Ahmad, Arusha
 
Wafanyabiashara wadogo almaarufu Machinga, wakiwa wamevamia eneo lililopo pembezoni mwa soko la Kilombero na kuvunja uzio na kujigaiya maeneo hayo kwa ajili ya Biashara. kwani eneo hilo ambalo lipo kwenye mgogoro kati ya halmashauri ya jiji la Arusha na mfanyabiashara mmoja wa jijini hapa, kwenye mahakama ya biashara hajajulikana hatima ya kesi hiyo lakini wafanyabiashara hao teyari wameshavamia eneo hilo. 
 Pichani ni wafanyabiashara hao wakiwa kwenye shughuli mbali mbali za kuandaa eneo hilo kwa ajili ya biashara na wengine teyari wamshapanga katika eneo hilo kama walivyokutwa na kamera yetu jijini Arusha leo Asubuhi

No comments:

Post a Comment