Thursday, July 5, 2012

Maisha Yanaendelea

Kwa kawaida katika tamaduni za kihaya ni vigumu sana kuona wanaume wa kihaya wanatumia glasi kunywa rubisi kwa mara nyingi huwa wanatumia KIBUYU(EKILELE) na (OLUSHOIGO) kwani ni taratibu zao uku wakibadilishana mawazo kama watu wazima.

No comments:

Post a Comment