Thursday, April 18, 2013

.wanajumuiya MUCE wapatiwa mafunzo ya jinsi ya kuzima moto

069 e0b4c
Insp. Kennedy Komba  Mkuu wa kituo cha zimamoto Iringa akitoa mafunzo ya uzimaji moto wa awali kwa wanafunzi  na wafanyakazi mbalimbali katika chuo kikuu cha mkwawa

083 61fab
Mmoja wa askari wa jeshila zimamoto mkoani iringa akielekeza namna ya kuzima moto kwa kutumia Kifaa cha kuzimia moto (fire extinguisher) Chuoni mkwawa.


100 b1b37
Zurufa Adamu  muhudumu  katika ofisi za Chuo  kikuu cha Mkwawa akifanya majaribio ya uzimaji moto katika kuhitimisha mafunzo ya siku tatu waliopatiwa.

108 ee58d
Insp. komba akielekeza namna ya kuzima moto sehemu ya wazi na mbinu zake.

109 25930
Zoezi la uzimaji moto likiendelea. Chanzo: Said Ng'amilo.

No comments:

Post a Comment