Wednesday, October 10, 2012

 Baadhi ya wakuu wa wilaya mkoani Kagera, kutoka kushoto ni mkuu wa wilaya ya Bukoba Bi. Ziporah Pangani, mkuu wa wilaya ya Misenyi Kanali mstaafu Issa Njiku.
 Baadhi ya washiriki wa kikao cha bodi ya barabara ya mkoa wa Kagera.
 Mkuu wa mkoa wa Kagera kanali mstaafu Fabian Massawe akiwahutubia wajumbe wa kikao cha bodi ya barabara ya mkoa huo.
 Baadhi ya viongi[ozi mkoani Kagera walioudhuria kikao cha bodi ya barabara.

No comments:

Post a Comment