Tuesday, May 21, 2013

Maisha Ya,,,,,,,,,,,,,,,,,

 Wahenga walisema ukishangaa ya musa utastaajabu ya filauni, ndicho kilichotokea mida hii banndari ya bukoba, baada gari lililokuwa likipakia mchele kutoka katika meli ya mv victoria kijiwasha ghafla na kutembea kuelekea eneo la maji  na kufanyika jitihada za haraka kunusuru gali hili kama unanyoona

No comments:

Post a Comment