Friday, May 24, 2013

ashikiliwa na polisi kwa kutorosha kobe

Published in Jamii
koeb b4087
Kamanda wa polisi Mkoa wa Dodoma David Misime akionyesha waandishi wa habari wanyama aina ya kobe zaidiya 70 waliofungwa kwenye mifuko ya Salfet waliokuwa wamekutwa kwa Moses Nyawaje 42 akiwa anataka kuwasafirisha kinyume cha sheria.

No comments:

Post a Comment