
Yanga wabunge wakipasha kabla ya kuanza kwa mchezo katika Tamasha la Matumaini Dar (HM)

Rais Jakaya Kikwete akizungumza na wananchi walioohudhuria kwenye tamasha la maatumaini

Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na michezo, Fenela Mukangara akizungumza kwenye tamasha hilo

Eric Shigongo akizungumza kwenye tamasha hilo

Simba wakijifua kabla ya mchezo wao na wabunge wa Yanga
No comments:
Post a Comment