Thursday, December 12, 2013

TASAF yatoa elimu kwa wanahabari juu ya Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini

IMG 8511 1cbbf
Mkurugenzi wa Huduma za jamii kutoka Mfuko wa Maendeleo ya Jamii(TASAF) Amadeus Kamagenge akitoa mada leo kwa baadhi ya waandishi wa habari na wahariri kutoka Tanzania Bara na Zanzibar kwenye warsha ya siku mbili ya kujenga uelewa wa Mpango wa Kunusuru Kaya Masikini wa awamu ya tatu inayoendelea kwenye hoteli ya Oceanic Bay, Bagamoyo
IMG 8521 f8d6f
Ni Baadhi ya waandishi wa habari na wahariri kutoka Tanzania Bara na Zanzibar wakiwa katika ya warsha siku mbili leo ya kujenga uelewa wa mpango wa awamu ya tatu wa kunusuru kaya masikini inayoendelea kwenye hoteli ya Oceanic Bay, Bagamoyo iliyoandaliwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii(TASAF)
IMG 8533 ae7d6
Afisa Uhawilishaji fedha kutoka Mfuko wa Maendeleo ya Jamii(TASAF), Edith Mackenzie akifafanua jambo leo katika ya warsha siku mbili ya kujenga uelewa wa mpango wa awamu ya tatu wa kunusuru kaya masikini inayoendelea kwenye hoteli ya Oceanic Bay, Bagamoyo.(P.T)

IMG 8584 380d1
Mkurugenzi Mtendaji wa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii(TASAF), Ladislaus Mwamanga akifafanua jambo leo kwa baadhi ya waandishi wa habari na wahariri kutoka Tanzania Bara na Zanzibar kwenye warsha siku mbili ya kujenga uelewa wa mpango wa kunusuru kaya masikini wa awamu ya tatu inayoendelea kwenye hoteli ya Oceanic Bay, Bagamoyo.
IMG 8592 fe49c
Baadhi ya waandishi wa habari kutoka Zanzibar wakiwa katika ya warsha siku mbili leo ya kujenga uelewa wa mpango wa awamu ya tatu wa kunusuru kaya masikini inayoendelea kwenye hoteli ya Oceanic Bay, Bagamoyo iliyoandaliwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii(TASAF).
IMG 8601 - Copy 50034
Msanifu wa gazeti la Uhuru ,Lilian Timbuka akiuliza swali leo kuhusu mpango wa kunusuru kaya masikini kwenye warsha ya siku mbili ya kujenga uelewa wa mpango wa kunusuru kaya masikini wa awamu ya tatu inayoendelea kwenye hoteli ya Oceanic Bay, Bagamoyo.
IMG 8625 1cb20
Baadhi ya waandishi wa habari na wahariri kutoka Tanzania Bara na Zanzibar wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii(TASAF) , wa tatu kutoka kushoto waliokaa ni Mkurugenzi Mtendaji wa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii(TASAF), Ladislaus Mwamwanga mara baada ya kufunguliwa kwa warsha ya siku mbili leo ya kujenga uelewa wa mpango wa awamu ya tatu wa kunusuru kaya masikini inayoendelea kwenye hoteli ya Oceanic Bay, Bagamoyo.
IMG 8642 48752
Mtaalamu wa Habari na Mawasiliano kutoka Mfuko wa Maendeleo ya Jamii(TASAF), Zuhura Mdungi akifafanua jambo leo katika ya warsha siku mbili ya kujenga uelewa wa mpango wa awamu ya tatu wa kunusuru kaya masikini inayoendelea kwenye hoteli ya Oceanic Bay, Bagamoyo.
Picha na Magreth Kinabo

No comments:

Post a Comment