Monday, February 18, 2013

mama kikwete aendelea na ziara lindi

IMG_8445
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiwasalimia watoto na wananchi wa kata ya Msinjahili waliohudhuria mkutano wa hadhara kwenye kijiji cha Kitumbikwela kilichoko katika wilaya ya Lindi Mjini tarehe 17.2.2013


IMG_8485Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi wa Kata ya Msinjahili wakishangilia wakati wa mkutano wa hadhara ulihutubiwa na Mjumbe wa NEC wa wilaya ya Lindi Mjini Mama Salma Kikwete katika kijiji cha Kitumbikwela tarehe 17.2.2013.
IMG_8499Wanachama wapya wa Chama Cha Mapinduzi na jumuia zake wakila kiapo mara baada ya kukabidhiwa kadi na Mjumbe wa NEC wa Lindi Mjini Mama Salma Kikwete katika kijiji cha Kitumbikwela tarehe 17.2.2013.
IMG_8525
Mjumbe wa NEC wa Lindi Mjini Mama Salma Kikwete akiwahutubia mamia ya wananchi wa kata ya  Msinjahili kwenye kijiji cha Kitumbikwela tarehe 17.2,2013.
 PICHA NA JOHN LUKUWI

No comments:

Post a Comment