Thursday, November 1, 2012

Bukoba Na Senene Tena

 Baadhi ya wakazi wa mji wa Bukoba wakichangamkia senene.
 Wanafunzi hawakubaki nyuma, huyu ni mmoja wa wanafunzi waliochangamkia senene wajianza kuonekana mkoani Kagera.
 Kitoweo hicho kikiwa sokoni.
 Senene wakirandaranda juu ya magunia.

Wafanyabiashara ya senene wakifanya vitu vyao.

No comments:

Post a Comment