Friday, March 30, 2012

Tunakukumbuka Mzee Mkapa Ulikuwa Jembe

Wakati watanzania walio wengi wanazidi kulia na maisha magumu huku wengine wachache wakila kuku na bata ,lakini tukilinganishha maisha ta serikali ya awamu ya tatu na ya nne ni tofauti ndio maana wananchi walio wengi wanasema bora Mkapa angerudi kuwa rais wa Tanzania Hali ni mbaya kila kukicha Jamaniii  (Picha ni rais Mstaafu wa awamu ya tatu Mh Benjamini Mkapa akipungia wana CCM Arumeru)

No comments:

Post a Comment