Bukoba Jamii
Unaweza kutoa maoni kwa kupiga simu no 0764493111
Tuesday, March 6, 2012
KARIBU KARAGWE TUNALIMA NDIZI KUBWAAAAAA
Hizi ni ndizi ambazo zinalimwa katika mkoa wa Kagera lakini hii inapatikana katika shamba moja la mkulima hodari ambye ni mkuu wa mkoa wa Kagera kanali Mstaafu Fabiani Massawe liko katika kijiji cha Kayanga wilayani Karagwe mkoani hapa
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment